

Lugha Nyingine
退休人员养老金又将上涨 预计1.14亿名退休人员受益
(CRI Online) Septemba 05, 2024
百度 马化腾:腾讯主要目的不是做新零售而是做连接2018-03-2511:16来源:证券时报网()03月25日讯证券时报记者罗曼深圳的未来虽然是创新驱动,但也要注重基础研究,深圳的速度就是创新的速度。
Rais wa Comoro Bw. Azali Assoumani amesema, katika ushirikiano na nchi za Afrika, China siku zote imekuwa ikifuata kanuni za kutendeana kwa usawa na kushirikiana kwa mafanikio bila kujali ukubwa wa nchi, jambo ambalo limeweka msingi wa ushirikiano kati ya nchi za 'Dunia ya Kusini' na kuwezesha kujenga dunia ya haki ambayo maslahi ya pande zote yanalindwa.
Rais Azali amesema, katika miongo kadhaa iliyopita, China daima imefuata kanuni ya kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, na imejenga ushirikiano wenye manufaa na nchi za Afrika katika nyanja nyingi ikiwemo siasa, jamii, uchumi na maisha ya watu.
Rais Azali ameeleza matumani ya kujenga jumuiya ya ngazi ya juu ya Afrika na China yenye hatma ya pamoja katika siku zijazo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma